Thursday, February 5, 2015

Anonymous

DUH! Hiki ndicho chakula ambacho Moyes aliwakataza kula wachezaji wa Man United

Miezi takribani 10 tangu atimuliwe kutoka kwenye nafasi ya ukocha wa klabu ya Manchester United, David Moyes ameelezea moja ya jambo lilokuwa linaisibu timu ya Manchester United wakati wa utawala wake na kutishia mafanikio ya timu uwanjani. 
Akihojiwa na jarida maarufu la soka la FourFourTwo, David Moyes ambaye kwa sasa anaifundisha timu ya Real Sociedad ya Uhispania alisema tatizo kubwa lilokuwa linaisumbua timu lilikuwa ni wachezaji wengi kuwa na uzito uliopitiliza (Ubonge), kitu kilichopelekea aamue kuwapiga marufuku kabisa matumizi ya chips kwa wachezaji wake. 

Ndio, ilibidi nipige marufuku chips“– Moyes.Ilikuwa kwa sababu kulikuwa na wachezaji wengi ambao walikuwa na uzito uliopitiliza na sikudhani kama chips zilikuwa nzuri kwenye diet yao, hivyo nikapiga marufuku.”– Moyes
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA
 KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.