
Nay na msichana huyo wakifanya yao chumbani!
Picha hizi zimepostiwa kupitia Acc ya msanii wa Nay Wa mitego akiwa yupo
kitandani na mwanadada ambae amevalia bikini huku sehemu kubwa ya mwili
wake ukiwa wazi / unaonekana.
Hali ya mwanadada huyo ameonekana akitabasamu bila kuwa na wasi wasi
kitendo ambacho kinafanya tuamini kwamba labda wana shoot video, lakini
sidhani kama ni sawa pia kwa maadili yetu ya Kitanzania. Pengine si
vibaya lakini mazoea hayo kwetu Watanzania ni mageni.
Picha hii imeonekana kuchukiza mabinti wengi na kuenea kwa story tofauti kwa muda mfupi tangu aipost.
Alichoandika Nay Wamitego ni "Ooooh shiiiit!!!
Alichoandika Nay Wamitego ni "Ooooh shiiiit!!!
Kuna mambo ya kuiga jamani ila kwa hili mi kwa upande wangu msanii Nay wa mitego akiwa kama kioo cha jamii naona haliko sawa!
Una
maoni gani ukiwa kama mdau wa sanaa, wapo sahihi kwa kupiga picha kama
hizi na makusudi kuzitupia mtandaoni?!
Toa maoni yako chini tafadhali!
DIAMOND, ZARI WAWA GUMZO MTANDAONI KWA KUWATAKA MASHABIKI WAWACHAGULIE JINSIA YA KIJACHO WAO!
===>>JIONEE HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.
Toa maoni yako chini tafadhali!
DIAMOND, ZARI WAWA GUMZO MTANDAONI KWA KUWATAKA MASHABIKI WAWACHAGULIE JINSIA YA KIJACHO WAO!
===>>JIONEE HAPA!
KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.