Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Wednesday, December 21, 2016
Unknown
Serikali Yatoa Tamko Rasmi Kuhusu Taarifa Zinazodai Imewakataza Watumishi wa Umma Kukopa
Serikali ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imepinga taarifa zilizosambaa mitandaoni zinazodai kuwa serikali imewapiga marufuku watumishi wa Umma kukopa kwenye mabenki, Saccos, Vikoba na taasisi nyingine za kifedha.
Note: Only a member of this blog may post a comment.