Monday, April 4, 2016

Anonymous

Iggy Azalea Amvuruga Nick Young

1393279974_iggy_azalea_highsnobiety_007_17
Rapa, Iggy Azalea.
CALIFORNIA, Marekani STAA wa kikapu wa timu ya L.A Leakers, Nick Young amedaiwa kutokuwa na furaha hata ya kucheza tena mchezo huo kisa kikiwa ni kugombana na mpenziwe, rapa, Iggy Azalea anayedai kuwa Nick anamsaliti kimapenzi.
article-0-1DFCB84900000578-322_634x918
Staa wa kikapu wa timu ya L.A Leakers, Nick Young akiwa na mpenzi wake Iggy Azalea.
Nick ambaye ni binamu wa Mwanahip hop, Kendrick Lamar inaelezwa kuwa kwa sasa hana amani juu ya kitu chochote ikiwemo hata kucheza kikapu na anachokiwaza ni kumrejesha Iggy kwenye himaya yake tu.
“Anakosa sana amani anapofikiria furaha aliyokuwa nayo alipokuwa na Iggy, anashindwa hata kufurahia anapokuwa uwanjani pale anapowaza kuwa anaweza kumpoteza Iggy milele, kwa sasa anaona kikapu si bora sana kwake kuliko kufikiria ni vipi anaweza kuwa na Iggy tena,” alisema rafiki wa karibu na Nick.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.