Saturday, March 12, 2016

Anonymous

KOFFI OLOMIDE AKIJIACHIA NA MREMBO WA KENYA CORAZON KWAMBOKA -PICHAZ:


Msanii kutoka Congo Koffi Olomide ameonekana kuwa karibu na mwanadada maarufu kwenye mitandao ya kijamii Kenya anayefahamika kama Corazon Kwamboka.
Koffi Olomide anayetegemewa kufanya show Kenya hivi karibuni ameonekana kaibu na mtoto huyu mkali na inasemekana Koffi akiwa Kenya Corazon Kwamboka ndiye atakuwa kampani yake.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.