Saturday, March 12, 2016

Anonymous

Kumkaba MESSI Lazima Usali Kwanza – Beki Kisiki Duniani Chiellini Afunguka

Kwenye mchezo wa mpira wa miguu kwa sasa ni vita kubwa kati ya wachezaji wawili, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo.
chiellini
Beki wa timu ya Juventus na timu a taifa ya Italia, Giorgio Chiellini amesema kabla hujaanza kumkaba Messi lazima uanze kusali kwanza.
Chiellini ameiambia Eurosport kuwa, “Kumkaba Ronaldo ni rahisi sana, unatakiwa kumdhibiti asipate mpira kwenye mguu wake wa kulia. Kumkaba Messi ni ngumu sana, lazima uanze kusali kwanza.”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.