Tuesday, March 15, 2016

Anonymous

‘Bethidei ya YEMI ALADE Yahudhuriwa na Mastaa Kibao

Yemi-Alade
Mwimbaji nyota wa kike wa Nigeria, Yemi Alade.
Lagos Nigeria
MWIMBAJI nyota wa kike wa Nigeria, Yemi Alade, hivi karibuni alitimiza miaka 27 tangu azaliwe, ambapo aliangusha pati la kufa mtu lililohudhuriwa na mastaa kibao kama vile Tiwa Savage, Toke Makinwa na D’banj.
image
Akikata keki.
Yemi aliwatolea ‘machejo’ ya minenguo ya miziki yake ambapo naye bila shaka ataikumbuka siku hiyo vyema kwa kupewa zawadi mbalimbali kutoka kwa nyota wenzake na marafiki.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.