Jamaa akatirirka namna hii:
Najua kabisa hii ishu...got nuthin to do wimi... got nuthin to do wi ths pag..nd no 1 ask 4 ma opinion...!! Ujue mi nasomaga comnts zaa huu...mtuu. then smh...!! Yani sioni umuhimu wak kua anajib watu nyodo zake...special kwa mtuu ambae... alikua akina. Enzi za uhai wak. wakati marehem(r.i.p) anagali hai..alikua akimkana kama njisi wa livyomkana yesu msarabani...afu leo.shiz so proud kusema...walikua wanashea kitanda kimoja...yy anasema eti ni walielewan yabaki kati yao....basii.... na hivi ibaki hivoo...banaa...!!! U ddnt wana tok abut him wen hi waz aliv theb dnt tok abut him now...!! Ukweli ni kwamba huwezi kujibizana na watu zaidi ya kumi,,.eti ukashinda ww....Najua hakuna mtuu anae weza ku kupangia chakupost...its funny how unapata ngumv yakupost kina Biba..buh u cnt even show th world that even thoe HE'S GONE buh hi still on ma mind.... yani hata kupost one of hiz pic juzi on his memorial day... jameni!? Dah..! SMHF... kujibu watu nyodo... sio kuaonyesh that u hav movd on with yolife....!! Sumtz jifunz kudharau watu...!! Na sio ku get attention ya watu!.. angalia majibu yakua unajibu watu.... ujuwe wanadam.wana mawazo tofauti kabisaa....!!! Umebadilika sanaa mpaka mama kanumba..anasema “Imefika mahali nawaza kwamba, huenda alipenda Kanumba aondoke ili yeye apate mafanikio makubwa aliyonayo sasa. Lulu amenitenga, amenitenga, amenitenga!” , Mama Kanumba alisema. Think twic...befor u speak.... and remember actions alwys speak louder than voic...
Tupia maoni yako hapo chini tafadhali...



Note: Only a member of this blog may post a comment.