Sunday, February 28, 2016

Anonymous

VIDEO: Wizara ya Elimu Imewasimamisha Kazi Wengine Watatu!

February 27 2016 Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwasimamisha kazi watumishi wake watatu kwa tuhuma za ubadhirifu, Akizungumza na waandishi wa habari Katibu Mkuu Maimuna Tarishi amesema ‘Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) ilitangaza Zabuni ya kuchapa vitabu vya kiada vya Darasa la kwanza mwaka 2015 na kampuni ya Yukos Enterprises Ltd ikainya mshindi 

Ufuatiliaji uliofanywa na Wizara katika bohari ambayo ilikuwa ikipokea vitabu hivyo, ulibaini kuwa vitabu vilivyowasilishwa na Kampuni hiyo kwenye Bohari vilikuwa na kasoro
Kutokana na mapungufu hayo, naagiza kusimamishwa kazi watumishi waliokuwa na jukumu la kusimamia Sheria ya Maamuzi na kazi ya uchapaji wa vitabu, ili kupisha uchunguzi zaidi

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.