Friday, November 6, 2015

Anonymous

DK. MAGUFULI Amuapisha Mwanasheria Mkuu

MASAJU
Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli leo asubuhi amemuapisha Bwana George Mcheche Masaju kuendelea kutumikia nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuteuliwa kuendelea na nafasi hiyo hapo jana.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.