Sunday, February 28, 2016

Anonymous

VIDEO ya Magoli ya YANGA SC Vs Cercle de Joachim ya Mauritius, Full Time 2-0

Klabu ya Dar Es Salaam Young African February 27 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ilicheza mchezo wake wa pili wa marudiano wa michezo ya klabu Bingwa barani Afrika dhidi ya klabu ya Cercle de Joachim ya Mauritius. Yanga imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0, magoli yalifungwa na Amissi Tambwe na Thabani Kamusoko. Video ya magoli nimekusogezea hapa

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.