
February 15 imeanza kusambaa kauli ya kuwa Msanii wa Bongo Fleva kutoka kundi la Watukutu John Walker amelipukiwa na mtungi wa Gesi,taarifa ya uhakika kutoka kwa Omary ambaye ni kaka yake John Walker amesema tatizo hilo lilimtokea John Walker wakati akitengeneza Gari.
Unaweza kumsikiliza hapa chini mtu wangu.
Unaweza kumsikiliza hapa chini mtu wangu.

Note: Only a member of this blog may post a comment.