Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Kilimanjaro Queens’ yaifunga Harambe Starlets ya Kenya 2-1 na kutwaa Kombe la Chalenji la CECAFA 2016 huko Jinja, Uganda leo jioni.
Tanzania walifika fainali baada ya kuwalaza wenyeji Uganda 4-1 mechi ya nusu fainali.
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Timu ya Taifa ya Wanawake ‘Kilimanjaro Queens’ yaifunga Harambe Starlets ya Kenya 2-1 na kutwaa Kombe la Chalenji la CECAFA 2016 huko Jinja, Uganda leo jioni.
Note: Only a member of this blog may post a comment.