Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Monday, February 15, 2016
Anonymous
Breaking News: Vigogo Wanne MSD Wamesimamishwa Kazi Kwa Ufisadi wa Billion Moja
Waziri wa Afya, Ummy Mwaimu amewasimamisha kazi vigogo wanne wa bohari ya dawa (MSD) kwa tuhuma za ubadhirifu wa billion 1 na nusu ili kupisha uchunguzi dhidi yao.
Note: Only a member of this blog may post a comment.