Mamia ya waombolezaji wamejitokeza mapema leo kumsindikiza Mkongwe wa
Muziki wa Dansi na Mlezi wa Bendi ya Mjomba, Kassim Mapili baada ya
kufariki ghafla akiwa nyumbani kwa mwanaye, Magomeni Mapipa jijini Dar
es Salaam.
Picha/ Chande Abdallah
Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Note: Only a member of this blog may post a comment.