Thursday, November 5, 2015

Anonymous

VIDEO&PICHAZ: Kutana na Uwanja Wenye Mvuto Zaidi Duniani Kuwahi Kutokea!

Ukizungumzia viwanja vikubwa vya soka duniani Wembley, The Nou Camp, The Maracana, The San Siro, Bernabeu. Allianz Arena havikosekani.
Lakini watalaam wamekuja na utundu mwingine na kuufanya uwanja huu wa mpira uliopo Norway kuwa wenye mvuto zaidi duniani kwa muonekano wake.
Huu ni uwanja ambao hauna majukwaa ya mashabiki na unatumika kwa wachezaji wanaocheza soka la ridhaa.
Unaweza ukaona mandhari yake na kukufanya kujiuliza maswali mengi ikiwemo ni vipi unamudu kuchukua watazamaji wachache kwa wakati mmoja kutokana na kuwa katikati ya bahari.
amaizing2
Tazama hapa jinsi wachezaji na watazamaji wachache wanavyokuwa huru kutumia uwanja huu..

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.