Thursday, November 19, 2015

Anonymous

BEN POL Alipanga Kufanya Video Mbili na Justin Compos, SA

Bep Pol amesema baada ya kumaliza salama kushoot video ya wimbo wake Ningefanyaje na Justin Campos nchini Afrika Kusini alikuwa na mpango wa kufanya video ya pili.
Akizungumza na Bongo5 leo, Ben Pol amesema video nyingine ilikuwa ni kwaajili ya wimbo wake na Nameless.
“Tulitakiwa ku-shoot video mbili lakini kuna mambo yameingiliana, ni kwa ajili ya ule wimbo ambao nimefanya na Nameless, sema yeye amekuwa busy na show za nje so tutapanga tena,” amesema Ben Pol.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.