Milipuko imelikumba soko la fataki maarufu lililopo kaskazini mwa Mexico City Jumanne na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 29 na kusababisha moshi mkubwa.
Watu 72 wamejeruhiwa, kwa mujibu wa gavana wa jimbo la Mexico, Eruviel Avila.
Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana bado. Mji wa Tultepec unafahamika kwa viwanda vyake vya mafataki na soko la San Pablito ni maarufu kwa uuzaji wa fataki.
Soko hilo lilikuwa na watu wengi kutokana na watu wengi kununua fataki kwaajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya.
Watu 72 wamejeruhiwa, kwa mujibu wa gavana wa jimbo la Mexico, Eruviel Avila.
Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana bado. Mji wa Tultepec unafahamika kwa viwanda vyake vya mafataki na soko la San Pablito ni maarufu kwa uuzaji wa fataki.
Soko hilo lilikuwa na watu wengi kutokana na watu wengi kununua fataki kwaajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya.
Note: Only a member of this blog may post a comment.