Sunday, December 6, 2015

Anonymous

MAPYA: MWANAHARAKATI WA TZ AYASEMA HAYA JUU YA RWANDA

WAKATI fukuto la chini chini la kisiasa dhidi ya Tanzania na Rwanda likiwa limepoa kama si kuisha kabisa, mapya yameibuka.

Mwanaharakati mashuhuri wa kisiasa nchini,ambaye alijizolea umaarufu katika bunge la katiba na kipindi cha uchaguzi mkuu, Humphrey Polepole amedai kuwa pamoja na nchi ya Rwanda kuwa na mengi ya kujifunza lakini haoni kama kuna baadhi ya mambo kwa watanzania kujifunza kutoka kwao. 

Polepole ambaye anasifika kwa ‘kukomalia ukweli’ amesema kuwa kitu pekee kinachomvutia nchini Rwanda ni kuona jinsi wanyarwanda wanavyopiga kazi tu. 
Cheki alichokiandika mtandaoni kwake hapa:
  Humphrey Polepole @hpolepole
Siungi mkono mambo kadhaa kuhusu Rwanda ila kuna mambo tunaweza jifunza kutokwa kwao. Jamaa wanajituma, wengi wetu wavivu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.