Friday, November 6, 2015

Anonymous

Bado ni vita na ujangili Tanzania.. utaratibu mwingine kulinda tembo ni huu.. (+Audio)

Tanzania ni moja kati ya nchi ambazo zimeathirika sana na ishu ya ujangili wa wanyamapori… vita imeanzia Afrika na duniani kwa ujumla ambapo jitihada mbalimbali zimefanywa kuhakikisha biashara inayohusisha wanyama kama tembo inapigwa marufuku.
IMAG0239
Taarifa imeripotiwa na Kituo cha ITV inahusu mradi wa kimataifa wa kuboresha mtandao wa maeneo ya hifadhi  na ambapo tembo wanafungwa vifaa maalum vya kisasa kwa ajili ya kuwafatilia na kuwapa ulinzi.
IMAG0235
Kazi tayari imeanza, zoezi la tembo kufunga vifaa hivyo limeanzia katika hifadhi ya taifa ya Ruaha pamoja na pori la akiba la Rungwa.
Story iko kwenye hii sauti pia kutoka kwenye habari ya Kituo cha ITV.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.