Friday, November 6, 2015

Anonymous

Mume wa FLORA MBASHA Kakubali Kurudiana na Mkewe? Hii Hapa Toka Kwa Soudy Brown.. #UHeard

Ni zaidi ya mwaka mmoja umepita tangu wawili hawa hawako kwenye ndoa yao, Emmanuel pamoja na Frola Mbasha… vitu vingi vimepita hapo katikati ikiwemo ishu ya kesi za Mahakamani.
Ndoa yao itarudi baada ya kuisha kwa kesi ya madai ya talaka? Emmanuel amesema inahitaji muda wa kukaa na kutafakari kabla ya kuamua chochote kwa sasa…

Emmanuel na Frola Mbasha enzi hizo kabla hawajatengana.
Emmanuel Mbasha amesema japo walikuwa kwenye kambi mbili tofauti kwenye Kampeni haimaanishi kwamba kulikuwa na tofauti yoyote iliyofanya wasirudiane… Emmanuel alionekana na Dokii kwenye Kampeni lakini anasema kila mmoja ana maisha yake, hakuna chochote kilichoendelea kati yao.
U Heard hii hapa kwenye audio yake.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.