Naleta kwenu maswali machache ili mpate kunisaidia. Katika tabiri nyingi zilizopata kutabiriwa ndani ya vitabu vitakatifu kama BIBLIA na vinginevyo zimekuwa zikitimia pasipo shaka.
Siku za nyuma kidogo huyu nabii anayeitwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshimiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitu gani muda mfupi uliopita.
SASA NAULIZA HIVI, JE BINADAMU ANAYO MAMLAKA AU NGUVU YOYOTE KATIKA KUBATILISHA KILE KINACHO TAJWA KUWA NI UTABIRI AMBAO UNA BARAKA ZOTE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU? KAMA NDIO KUNA HAJA YOYOTE YA KUTEGEMEA TABIRI KWA HAWA WANAOJIITA WATUMISHI WA MUNGU?
Hongereni mnaoshangilia ushindi na poleni kwa wale ambao hamkuridhishwa na zoezi lilivyo kuwa.
By Muungwana Mwenzenu Mr Q.
Siku za nyuma kidogo huyu nabii anayeitwa TB Joshua Kutoka Nigeria alimtabiria mheshimiwa Edward kuwa ndiye raisi ajaye sasa kila mtu anajua kilicho tokea ni kitu gani muda mfupi uliopita.
Hongereni mnaoshangilia ushindi na poleni kwa wale ambao hamkuridhishwa na zoezi lilivyo kuwa.
By Muungwana Mwenzenu Mr Q.
Note: Only a member of this blog may post a comment.