Monday, October 5, 2015

Anonymous

Tazama Alichokiandika Lady JAYDEE Kwa Mama Yake Aliyetimiza Miaka 70

Katika dunia ya sasa mtu akifikisha umri wa miaka 70, anakuwa mtu mwenye bahati sana. Mama yake na Lady Jaydee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa weekend iliyomalizika na mwanae amesherehekea naye.
12107491_1095857773765693_1093621763_n Keki aliyoandaliwa mama yake na Lady Jaydee. Sherehe ya kumpongeza ilifanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam
Kwenye ujumbe alioandika kumpongeza mama yake, Jide amesema mama yake amemfundisha ujasiri, nguvu na kujiamini.
11191324_984070714964832_1780187782_n
“Happy Birthday to the woman who taught me courage, strength, confidence and a woman’s worth,” ameandika Jaydee kwenye Instagram.
“Happy 70th Birthday Mama . Thank you for giving and showing me unconditional love throughout the days of my life . Special thanks to Serena Hotel #MrKenedy.”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.