Mtoto wa Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari, Latiffah alioneshwa sura yake kwa mara ya kwanza Jumapili ya September 20,2015 ambapo pia ilifanyika hafla ya kufikisha siku arobaini tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo.

Halfa hiyo iliyofanyika kwenye makazi ya Diamond aliyoyabatiza kama ‘State House’ ilirushwa kupitia Clouds TV kwenye kipindi maalum (Tiffah’s 40), kilichoonesha siku nzima ilivyokuwa kwenye familia ya Diamond kuanzia walipoamka asubuhi hadi wakati wa hafla yenyewe.
Halfa hiyo iliyofanyika kwenye makazi ya Diamond aliyoyabatiza kama ‘State House’ ilirushwa kupitia Clouds TV kwenye kipindi maalum (Tiffah’s 40), kilichoonesha siku nzima ilivyokuwa kwenye familia ya Diamond kuanzia walipoamka asubuhi hadi wakati wa hafla yenyewe.
Nimekuwekea part 1 ya video hiyo hapa
Note: Only a member of this blog may post a comment.