Imelda Mtema
Dah! Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amefungua kinywa na kusema kuwa anataka siku akifa msiba wake uwe mkubwa.
Akizungumza na GlobalTV Online wikiendi iliyopita, Mpoto alisema kuwa
siku zote anafikiria sana ni jinsi gani aongeze bidii kwenye kila jambo
analofanya ili azidi kufahamika zaidi.
“Mimi nafanya kazi zangu kwa umakini zaidi na za uhakika ili jina langu lizidi kupaa siku hadi siku na hata siku nikifa msiba wangu uwe mkubwa,” alisema Mpoto.
Dah! Mwanamuziki mahiri wa mashairi ya kughani Bongo, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ amefungua kinywa na kusema kuwa anataka siku akifa msiba wake uwe mkubwa.
“Mimi nafanya kazi zangu kwa umakini zaidi na za uhakika ili jina langu lizidi kupaa siku hadi siku na hata siku nikifa msiba wangu uwe mkubwa,” alisema Mpoto.
Note: Only a member of this blog may post a comment.