Monday, October 12, 2015

Anonymous

Blackberry na Sony Kusalimu Amri? Huenda Wakaacha Kutengenza Tena Simu....

Katika vita vikali vya smartphones, washindani wawili wamepanga kuweka silaha chini.

Wenyeviti watendaji wa Sony na BlackBerry kwa nyakati tofauti wote wamekubali kuwa mwaka 2016 unaweza kuwa mwaka wa kuachana na biashara ya simu.
Sony imedai kuwa itafikiria mbadala mwingine kama kitengo chake cha simu kitashindwa kuwapa faida, wakati BlackBerry ikidai haiwezi kusema kuwa itafunga kabisa utengenezaji wa simu zao, japo mambo ni magumu.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.