Thursday, October 1, 2015

Anonymous

10 PICHAZ: Shuhudia DK MAGUFULI Alivyofanya Katika Ngome ya CCM Mjini Dodoma!

magufuli (6)
Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Dodoma kwenye mkutano wake wa kampeni.magufuli (4)Msanii maarufu wa Bongo fleva, Ally Saleh Kiba ‘King Kiba’ akitoa burudani kwa wakazi wa Dodoma wakati wa mkutano huo.

magufuli (1)
Msanii maarufu wa Bongo fleva, Khaleed Ramadhan Tunda ‘Tunda Man’ naye akifanya yake.magufuli (7)Magufuli akiomba ridhaa kwa Wanadodoma.
magufuli (3)
Chege na Temba wakikamua jukwaani.magufuli (8)Magufuli akiendelea kujinadi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma jioni ya leo.
magufuli (2)
Sehemu ya umati wa watu waliofika kwenye mkutano wa Dk Magufuli, Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John pombe Magufuli leo akiwa katika Mkoa wa Dodoma ambao ni wa 18 kufanya kampeni zake, amefanya mikutano katika vijiji na majimbo mbalimbali.
miongoni mwa vijiji hivyo ni Mbande, Chunyu, Mpwapwa, Kongwa, Kibaigwa, Chalinze, Njia Panda ya Chamwino na kumalizia na mkutano ulihudhuliwa na maelfu ya wananchi katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.
PICHA NA RICHARD BUKOS/GPL ALIYEKO DODOMA

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.