Friday, September 11, 2015

Anonymous

Wakati JACKLINE CLIFF Akisota Gerezani CHINA...Aliyekua Mumewe Ampa za Uso LIVE!

jacknamumeweAbdulatif Fundikira ‘Tiff’ na mkewe wa zamani,  Jacqueline Patrick
Imelda Mtema
Mume wa Miss Tanzania 2011, Salha Israel, Abdulatif Fundikira ‘Tiff’ ameibuka na kusema kuwa kwa mkewe wa zamani, Jacqueline Patrick alipotea njia hivyo anashukuru Mungu sasa amefika panapostahili.
006.VAZI LA UBUNIFU 2 
Miss Tanzania 2011, Salha Israel
Akichonga na Ijumaa  Tiff alisema kuwa kwa mkewe Salha amefika na kutokana na huduma anazompa amegundua kuwa mkewe wa zamani Jacqueline ambaye kwa  sasa anatumikia kifungo jela nchini China hakuwa mke bora.
Jack Cliff
“Salha ni mwanamke mwenye sifa zote, kuna wakati najisahau kabisa kama nilipitia machungu ya ndoa kwa jinsi anavyonijali na kunithamini kwa kiasi kikubwa. Siku zote nitajisifia kuwa naye na nitampenda na kumthamini zaidi,” alisema Tiff.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.