Mheshimiwa Sugu alipigwa mawe na gari lake kuharibiwa wakati akienda kata ya Iziwaa jiji Mbeya; kutokana na vurugu hizo ;
Sugu kahairisha kampeni .
Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa
kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe
na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM


Note: Only a member of this blog may post a comment.