Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini Nigeria, Ramsey Nouah.
Muigizaji maarufu wa Nollywood nchini
Nigeria, Ramsey Nouah amekaririwa akisema kuwa, yuko tofauti kabisa na
wasanii wenzake wa nchini humo wanaokimbilia kwenye siasa kila kukicha
na kuongeza kuwa mashabiki wake wasitegemee Ramsey kujiunga na siasa.
Akifanyiwa mahojiano maalum na mtandao
wa NET wa nchini humo, Ramsey alisema kuwa: ‘Sijui jinsi gani naweza
kuwa mwanasiasa, mimi sio mwanadiplomasia kivile. Sijui namna ya
kuyapangilia maneno yakafana kama wanasiasa wanavyoweza kufanya. Mimi
siko hivyo’.
Na NaijaGists.com

Note: Only a member of this blog may post a comment.