Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari
zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah
katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita
‘state house’.
Kwenye picha hiyo Zari aliandika;
“Good morning, let’s take this opportunity to comment with a
prayer for our parents. And those who’ve lost your parents, my heart is
with you. Comment with a prayer for the good Lord to rest them in peace.
This is mama Zee and mama Dee”
Bila shaka furaha za wazazi hao wa kike zitakamilika pale Diamond na Zari watafunga ndoa na kuziunganisha familia zao.

Note: Only a member of this blog may post a comment.