Friday, September 11, 2015

Anonymous

PICHA ZAIDI ZA WANA-UKAWA WALIOVAMIWA NA MMOJA KUUAWA!

Msafara wangu umevamiwa na wanaccm wakati nikitoka kijiji cha Mangucha kwenda Kegonga watu wetu wameumizwa na mmoja amefariki dunia" Meseji ya Heche kanithibitishia!
Je, una maoni gani kuhusu matukio kama haya haswa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu?! Toa maoni yako hapo chini tafadhali!
CHANZO : JAMII FORUMS :

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.