Monday, September 21, 2015

Anonymous

Mwenyekiti wa CCM, Geita, Joseph Musukuma Amshambulia LOWASSA...Asema Alijisaidia Hadharani Pale Chato [VIDEO]

Jana CCM Wamefanya mkutano wa hadhara huko Chato mkoani Geita ambapo makada mbalimbali wa chama hicho walipanda jukwaani kumnadi mgombea urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli.

 Miongoni mwa makada hao ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, ndg Joseph Musukuma ambaye alikuwa ni rafiki wa karibu wa Edward Lowassa akiwa bado hajahama CCM. Akihutubia Maelfu ya wanaChato, mwenyekiti huyo aliwashambulia Ukawa kwa kununua Watu ili kujaza mkutano wao wa kampeni uliofanyika hapo Chato wiki iliyopita.
 Aidha, Mwenyekiti huyo alienda mbali kiasi cha kugusia afya ya Mgombea wa UKAWA, Ndg Lowassa kwa kudai kuwa Alijinyea pale Stendi ya Chato.
Tazama video hiyo hapa, pia waweza i-download

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.