Thursday, September 17, 2015

Anonymous

Kwa Wanaume: Usithubutu Kumsomesha Mke, Mchumba Ama Mpenzi

Kusomesha ni jukumu la mzazi, sio mume, mchumba au boyfriend. Kozi pekee wanayotakiwa kusomeshwa hawa wenzetu ni cookery (mapishi), driving kwa ajili ya kuendesha lile gari la mkopo apeleke watoto shule na kuendea sokoni na sayansi kimu tu, zingine unajitafutia presha.

Wengi wamelizwa huko vyouni, wanakutana na watu wa kila aina kuanzia serengeti boys mpaka veterans wa mapenzi wenye hela zao na wanaojua Kujali...Msichana Atajifanya Mgumu Mwaka wa kwanza tu akishazoea ni Mteremko wa Kitonga hasa wake za watu, wengine ndio dharau zinaanzia hapo na ndoa au penzi kuisha.
Mwenye masikio na asikie na Mwenye Kubisha hili aje Hapa...

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.