Monday, September 21, 2015

Anonymous

JB Ala Shavu Nono la Ubalozi!


 Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’.
Gabriel Ng’osha
Shavu! Staa ‘the big name’ kwenye sinema za Kibongo, Jacob Stephen ‘JB’ amekula shavu nono la ubalozi wa kampuni ya kimataifa (jina kapuni kwa sasa) ambayo inatarajia kuanza kutoa huduma kwa Watanzania. 

Habari kutoka kwa mtu wa karibu wa JB zilieleza kwamba, ni dili kubwa ambalo jamaa hao walikuwa wakimtafuta balozi wao kabla ya kutua kwa staa huyo.Alipoulizwa juu ya ishu hiyo, JB alifunguka kwa kifupi: “Dah! Mmeipata hiyo? Kweli ninyi ni hatari. Mambo yanaenda vizuri tutataarifiana.”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.