Thursday, September 10, 2015

Anonymous

Huyu Ndiye Mufti Mpya wa Tanzania

Sheikh-Abubakar-Zuberi-bin-Ally
WAJUMBE 310 wa Baraza Kuu la Waislamu nchini (Bakwata), leo wakiwa mkoani Dodoma wamemchagua Sheikh Abubakary Zubeir kuwa Mufti wa Tanzania akiziba nafasi iliyoachwa na hayati Issa Shaaban bin Simba.
Kabla ya uchaguzi huo, Sheikh Abubakary Zubeir, alikuwa Kaimu Mufti wa Tanzania kwa kipindi cha mpito baada ya kifo cha Sheikh Mkuu, Issa Shaaban bin Simba.
Awali Sheikh Zubeir alikuwa Naibu Mufti wa Sheikh Mkuu na pia Mjumbe wa Baraza Kuu la Ulamaa nchini.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.