Sunday, September 13, 2015

Anonymous

GABO Asema Filamu Yake Mpya ya ‘Safari ya Gwalu’ Italeta Mapinduzi!

Msanii wa filamu aliyetamba kwenye Bado Natafuta, Gabo Zigamba amesema filamu yake mpya ‘Safari ya Gwalu’ italeta mapinduzi nchini.
11906349_1479453405682902_1970720133_n
Gabo ameiambia Bongo5 leo kuwa uwezo aliouonesha katika kazi hiyo utawafanya watu waamini kipaji chake.
“Mimi nategemea mafanikio makubwa kwa sababu hii ni miba ya nyikani na haivunjiki kwa mkono,” amesema. Ajira isiyo rasmi sasa tunakwenda kuirasimisha, lazima nifanye vitu ambavyo vitaleta mapinduzi na changamoto kwa wengine. Safari ya Gwalu ni filamu inayokwenda kuishi kwa muda mrefu kwa sababu ni sinema ambayo itarudisha safari ya Gabo.”
Amesema filamu hiyo itatoka September 28.
-via Bongo5

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.