Dk Magufuli akiwasili kuanza kampeni katika mkoa wa Mara baada ya kumaliza katika Mkoa wa wa Tanga.
Nakumbuka mwanzoni aliahidi kutumia usafiri wa gari katika pande zote za Tanzania! Mwenye macho haambiwi tazama, hiyo picha hapo juu inajieleza tosha yenyewe!
Swali kubwa hapa ni: Kimemsibu nini tena kuyakacha magari mapema hivi?!
Toa maoni yako hapo chini!
Nakumbuka mwanzoni aliahidi kutumia usafiri wa gari katika pande zote za Tanzania! Mwenye macho haambiwi tazama, hiyo picha hapo juu inajieleza tosha yenyewe!
Swali kubwa hapa ni: Kimemsibu nini tena kuyakacha magari mapema hivi?!
Toa maoni yako hapo chini!

Note: Only a member of this blog may post a comment.