Diamond Platnumz ni mtu mwenye furaha kubwa baada ya producer maarufu wa Marekani, Swizz Beatz kupost video mbili kwenye Instagram zikimuonesha yeye na binti yake, Nicole Dean wakisikiliza nyimbo zake.
Ikabidi ni repost Nataka Kulewa. Kwanza nilitaka nirepost Nana, nikasema nikirepost Nana wanaigeria wataona kama Swizz kasilikiza nyimbo kupitia Nigeria. Ndio maana nikarepost Nataka Kulewa ili kuwaonyesha wanaigeria ni muziki wa Tanzania unakubalika,” ameongeza.
“Kwa mtazamo wangu mimi naona muziki wa Tanzania unaendelea kufanya vizuri. Unaonyesha zaidi kwamba unakubalika. Unajua sisi tunaimba Kiswahili na nyimbo ambazo tunaimba Kiswahili hawazielewi, kwahiyo ukiona wanasikiliza ujue tumepiga hatua. Huu ni wakati wasanii kushirikiana ili kufikisha muziki wetu mbali.”

Note: Only a member of this blog may post a comment.