Kasi ya Wanasiasa kuzungumza na wapiga kura wao kwa sasa ndiyo stori ambayo inazungumzwa karibu kila kona ya Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ambapo kwa Tanzania tutakua tunamchagua Rais wa awamu ya tano.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinaendelea kumnadi mgombea wake Urais Dr. John Magufuli na septemba 8 2015 walikua Tanga kwenye uwanja wa Tangamano ambapo wananchi wengi walijitokeza kwa ajili ya kumsikiliza Mgombea Urais,Ubunge na Madiwani.
Kampeni hizi ziliambatana na utoaji wa burudani kwa wasanii kadhaa akiwemo Diamond Platnumz,Alikiba,Yamoto Band,Barakah Da Prince,Marlaw,Kassim Mganga,Matonya,Mwana Fa,Chege na Temba,Isha Mashauzi,Khadija Kopa,Mzee Yusuph na wengine.

Diamond Platnumz

Alikiba

Miongoni mwa vijana wanaounda Yamoto Band.

Kundi la Orijino Komedi


Wananchi waliokuja kumsikiliza Mgombea Urais John Magufuli.

Diamond Platnumz
Alikiba
Miongoni mwa vijana wanaounda Yamoto Band.
Kundi la Orijino Komedi
Wananchi waliokuja kumsikiliza Mgombea Urais John Magufuli.

Note: Only a member of this blog may post a comment.