Monday, August 3, 2015

Anonymous

Tazama Taswira za Kikao cha Baraza Kuu CHADEMA!

7
Mwenyekiti wa Chdema Taifa, Freeman Mbowe akihutubia  wajumbe wa Baraza Kuu katika ukumbi wa mikutano wa LAPF, Makumbusho jijini Dar mchana huu. 1
2
3
4
5
6Wajumbe wa Baraza Kuu wakifuatilia mkutano huo.
Kikao cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaendelea hivi sasa katika ukumbi wa mikutano wa LAPF uliopo Makumbusho jijini Dar es Salaam.
Akihutubia katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema chama hicho hakiendeshwi kwa siri, kinaendeshwa kwa mikakati.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.