Akizungumzia tukio hilo, Steve alisema ajali hiyo ilitokea maeneo ya
Chalinze Dodoma akiwa na gari lake binafsi aina ya Toyota Passo ambalo
liliacha njia na kupinduka na kumsababishia aumie usoni huku wengine
aliokuwanao garini kunusurika.
“Ilikuwa ajali mbaya kwa kweli, namshukuru Mungu kutoka salama,
nilikuwa pamoja na vijana wangu lakini wao walikuwa salama kabisa mimi
ndiyo niliumia hivi mpaka nikafikia hatua ya kushonwa nyuzi kadhaa
usoni,”alisema Steve.

Note: Only a member of this blog may post a comment.