Tuesday, August 11, 2015

Anonymous

PICHAZ: Shuhudia Mastaa wa soka Afrika wakiwa na Wake/Wapenzi wao…

Wanapokua mbali na kazi zao za kila siku kila mtu hupenda kujumuika na familia au ndugu wa karibu kwa ajili ya kubadilishana mawazo, hii pia hujitokeza hata kwa mastaa wengi wa soka iwe Ulaya au Afrika.
Hapa nimekuwekea list ya mastaa wa soka Afrika wakiwa na wapenzi wao:-


2. Solomon Kalou na mpenzi Najah Wakil

3. Alex Song na mpenzi wake Olivia Song

4. Samuel Etoo na mke wake Georgette Eto’o

5. Kolo Toure na mke wake Chimene Akassou

6. Diedier Drogba na mke wake Diakité Lalla

7. MacDonald Mariga na mke wake

8. Nadia na mpenzi wake Michael Essien

9. Asamoah Gyan na mpenzi wake

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.