Gardner ameimbia Bongomovies.com kuwa taarifa za yeye kuacha na mkwe wake sio za kweli japo kuwa ni kweli walikuwa natofauti za kawaida na wameshazimaliza na pia amekanusha kuwa hakumpa talaka kama ilivyoripotiwa .
Taarifa hizo zilidai kuwa wawili hawa ambao wamedumu kwenye ndoa kwa miaka miwili na nusu sasa wameachana baada ya Gardner kumpa talaka Jack huku chanzo kikitajwa kuwa ni usaliti katika mapenzi.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU
TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.