Tuesday, August 4, 2015

Anonymous

Kutoboa Kimataifa Kunahitaji ‘network’ – AY

AY amedai kuwa wasanii wengi wa Tanzania wanashindwa kufanikiwa kimataifa kutokana na kukosa na network yaani kufahamiana na watu vya kutosha.
11667385_10155977768870413_4222696183537478644_n
“Unajua network na kujuana na watu mbalimbali ndio inayoweza kumsaidia msanii kupiga hatua katika kazi yake na kufanya vizuri katika muziki,” AY ameiambia E-News ya EATV.
“Wasanii wengi bila kuwa chini ya uongozi hawawezi kufanya chochote ndio maana mimi nikaamua kujitolewa kuwasimamia wale ambao naamini wanaweza kufika mbali wakiwa chini ya usimamizi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.