Tuesday, August 4, 2015

Anonymous

KIMENUKA MBAYA! JESHI LA POLISI LAMNASA YULE KIJANA ALIYETUKANA NA KUPONGEZA TUKIO LA STAKISHARI MITANDAONI!

Bruno Coleman Kimaryo, alikuwa akijiita majina mengi ya bandia na kutukana sana kwenye mitandao ya kijamii hatimaye safari ameingia mwenyewe choo cha kike na kunaswa na serikali, haya ni baadhi ya majina ya bandia aliyokuwa akiyatumia kurushia maneno ya chooni huko facebook:- Bruno KIMS.....aka Wegesa Ole Sugutu.
STATEMENT YA POLISI

Huu ndio ujumbe aliouandika kwenya FACEBOOK na kuutuma kwenye Group la TANURU LA FIKRA

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.