Vipaumbele:
1. Elimu
2. Afya
3. Kilimo
4. Miundombinu
5. Utawala bora
6. Mawasiliano
Swali: Je, kwa takribani miaka 54 ya kuwa madarakani wametekeleza hayo kwa kiwango gani cha kuridhisha wananchi?!
Je, kwa sasa kuna miujiza gani watakayotumia kutekeleza ilani hiyo?
Ilani kuu ya uchaguzi 2005 na 2010: Kasi mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya iliishia wapi? Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? Nadhani ccm wanawaona watanzania kama mazuzu hivi, maana wanabadilisha biti tu lakini wimbo ni uleule!
Source:Jamii Forums
1. Elimu
2. Afya
3. Kilimo
4. Miundombinu
5. Utawala bora
6. Mawasiliano
Swali: Je, kwa takribani miaka 54 ya kuwa madarakani wametekeleza hayo kwa kiwango gani cha kuridhisha wananchi?!
Je, kwa sasa kuna miujiza gani watakayotumia kutekeleza ilani hiyo?
Ilani kuu ya uchaguzi 2005 na 2010: Kasi mpya, Ari Mpya na Nguvu Mpya iliishia wapi? Maisha bora kwa kila mtanzania yako wapi? Nadhani ccm wanawaona watanzania kama mazuzu hivi, maana wanabadilisha biti tu lakini wimbo ni uleule!
Source:Jamii Forums


Note: Only a member of this blog may post a comment.