Alizaliwa mwaka October 29 1959
 kwahiyo umri wake ni miaka 55 akiwa na headlines nyingi za uongozi 
alioanza nao mwaka 1995 alipokuwa pia naibu waziri wa kazi na leo hii 
ndiye mgombea Urais wa Tanzania 2015 kupitia chama cha mapinduzi CCM.
Hii picha yake hapa chini ni ya miaka 40 iliyopita akiwa Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Katoke Seminari March 1975, sura imepotea au yuleyule?
 

 
 
 
Note: Only a member of this blog may post a comment.