Thursday, July 2, 2015

Anonymous

Ushindi Mwingine Kwa Rais Uhuru Kenyatta Huu Hapa…

dolee

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.

Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.

ushund

Kenyatta alichaguliwa na maelfu ya wanafunzi kutoka barani Afrika walioshiriki kupiga kura hiyo.

Kenyatta alichaguliwa kwa uwezo wake wa kujenga makubaliano kitaifa na kimataifa na juhudi zake za kubadilisha sera na kutoa ufumbuzi katika maswala yanayowaathiri wakenya.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.