Brithon Masalu
Kutoka moyoni! Staa wa sinema za
Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ amefunguka kuwa anafurahia maisha
anayoishi bila ndoa kwani anafanya mambo kwa uhuru na hana msongo
tofauti alivyokuwa akiishi kwenye ndoa na aliyekuwa mumewe, Michael
Sangu ‘Mike’.
“Nafurahia sana maisha bila ndoa, sina stress (mawazo) kama zamani, nafanya mambo yangu kwa uhuru mkubwa na simuwazii mtu kabisa tofauti na kwenye ndoa, mara sijui umuwazie mtu mzima mwenzako, mara sijui vile, acha nitafune maisha,” alisema Thea.

Note: Only a member of this blog may post a comment.